Utangulizi
Halmashauri ya Misioni na Uinjilisti inashughulikia mambo ya Misioni na Uinjilisti na Jinsia. Halmashauri hii ndiyo inayoshughulikia na kutunza mambo yote yanayohusu mfundisho na Maadili.
Halmashauri ya Misioni na Uinjilisti ina idara mbili